Thursday, April 10, 2014
Meneja wa Kampuni ya New Position Co.Ltd, Juma Burah akizungumza jambo na waandishi wa habari(hawapo pichani) ofisini kwake.
Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni hiyo wakiwajibika kazini.
Meneja akionesha tangazo la kuthibitishwa kwa kampuni yake na Wizara ya Kazi na Ajira katika gazeti la Mtanzania
Meneja aikionesha moja ya mashine ambazo wanahitaji vijana wenye fani ya Mauzo kwa ajili ya kuuza na kusambaza kwa wafanyabiashara.
KAMPUNI ya New Position Co Ltd, ni kampuni iliyosajiliwa kisheria chini ya Wizara ya Kazi na Ajira kwa namba 105407 yenye lengo la kuwaunganisha waajiri na waajiri popote nchini Tanzania.
Kampuni hiyo ni wakala wa ajira na kazi ambayo kazi yake ni kuwatafutia ajira wahitimu wa ngazi mbali mbali wanaohangaika kuomba kazi katika mashirika mbali mbali ikiwa ni pamoja na mashirika au makampuni yanayohitaji wafanyakazi.
Akizungumza na mtandao huu, Meneja wa Kampuni hiyo, Juma Burah amesema watanzania wengi hawajui jinsi ya kuandika barua za kuomba kazi pamoja na wasifu wao(CV) jambo lililopelekea kuanzisha kampuni kwa lengo la kuwakomboa vijana.
Amesema mwombaji wa kazi anapaswa kupeleka vyeti vyake na shilingi elfu kumi na tano(15,000/=)ambazo zitasaidia kupewa mafunzo jinsi ya kuandika cv, barua ya maombi pamoja na kujieleza wakati wa usaili ili muombaji aweze kumudu ushindani uliopo.
Ameongeza kuwa kazi ya kampuni mbali na kutafuta ajira na kazi pia inaibua fursa za ajira kupitia mtandao ambapo sifa za muombaji huwekwa mtandaoni ili wenye kuhitaji wafanyakazi huwapata kiurahisi.
Meneja huyo ameongeza kuwa tangu kusajiliwa kwa kampuni hiyo imepita miezi sita lakini wamepata mafanikio makubwa kwa kuwawezesha wafanyakazi zaidi ya 300 kupata mafunzo na kuajiriwa katika sekta mbali mbali.
Ameongeza kuwa mbali na kampuni kuwatafutia kazi watu mbali mbali pia Kampuni yenyewe inanafasi 50 za wataalamu wa fani ya IT, Mauzo na mapokezi.
Kampuni hiyo pia inaubia na kampuni ya BOLSTO inayohusika na uuzaji wa mashine mbali mbali za Kielectroniki kama vile EFDs ambazo ziko za aina tofauti tofauti ambazo ni Prima, Dp25, Best LC, Ultima na Easy Machines inayofanya kazi ya uwakala wa fedha kama Mpesa, Tigo Pesa, Zuku, Dstv nk.
Amesema pia kampuni hiyo inanafasi 20 za kazi kwa ajili ya kuuza na kusambaza mashine hizo ambapo muuzaji atanufaika na Kamisheni kutokana na mauzo ya mashine hizo
Kampuni hiyo inapatikana katika Jengo la Crdb Ghorofa ya kwanza kushoto au unaweza kupiga simu namba 0718 470499 au kwa barua pepe info@new-position.com au tembelea wavuti wao wa www.new-positions.com Mbeya mjini.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Search
Popular Posts
-
Ni sheria gani inayosimamia mikataba ya ajira Tanzania? Kwa ujumla Sheria ya Mikataba inasimamia aina zote za mikataba Tanzania. Lakini...
-
PADZ HOTEL MBEYA inawatangazia wakazi wa Mbeya nafasi za kazi mbali mbali kwa walio na diploma au Cheti. Kwa maelezo zaidi piga simu 077...
-
Meneja wa Kampuni ya New Position Co.Ltd, Juma Burah akizungumza jambo na waandishi wa habari(hawapo pichani) ofisini kwake. Ba...
-
MARAFIKI WA ELIMU MBEYA(MEM) has a wide range of VOLUNTEER OPPORTUNITIES available in working with children projects training children abou...
-
WAFANYAKAZI WA KAMPUNI YA NEW POSITION WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA MKURUGENZI WA KAMPUNI JUMA BURRAH AKIWA OFISINI KWAKE
-
Share on facebook Share on twitter Share on email Share on print More Sharing Services 0 New Positions Company Lt...
-
A. TANGAZO LA NGAZI YA CHETI {TANGAZO LA STASHAHADA LIPO CHINI} JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI Sim...
-
Ni yapi mafao ya kusitisha ajira? Mafao ya kusitisha ajira ama kuachishwa kazi ni haki/stahili zote anazotakiwa apate mfanyakazi kutokan...
Recent Posts
Categories
- NAFASI ZA KAZI (9)
- KAZI (5)
- AJIRA (4)
- MATANGAZO (4)
- MBEYA (3)
- MAWAKALA WA AJIRA (1)
- MIKATABA YA KAZI (1)
- SHERIA ZA KAZI (1)
- TANZANIA (1)
Sample Text
Blog Archive
-
▼
2014
(17)
-
▼
April
(17)
- No title
- NAFASI MPYA ZA KAZI
- NEW POSITION CO LTD WASAMBAZAJI NA WAUZAJI WA EZEE...
- OFISI YA WAKALA WA AJIRA NA KAZI SASA YAFUNGULIWA ...
- EZEEMONEY MACHINE
- AJIRA KIBAO MBEYA UWSA.: MWISHO 30/4/2014
- Office Manager at Fugro - Tanzania
- Nafasi mpya ya kazi kutoka serikalini
- NAFASI ZA KAZI TIGO TANZANIA - MFS Zonal Manager,...
- nafasi za mafunzo ya ualimu kwa mwaka wa masomo 20...
- Engineering Standards Specialist at Bulyanhulu Gol...
- Mikataba ya Ajira
- Mafao ya Kusitisha Ajira
- TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI PADZ HOTEL MBEYA
- NAFASI ZA KAZI ZA KUJITOLEA MBEYA
- NAFASI ZA KAZI TBS. MWISHO WA MAOMBI NI 22 APRIL
- MAWAKALA WA AJIRA NA KAZI WANAPATIKANA MBEYA, WENY...
-
▼
April
(17)
Text Widget
“Find out what you like doing best and get someone to pay you for doing it.” –Katherine Whitehorn
Sample text
Label
Social Icons
Blog Archive
About The Author
Followers
Find us on Facebook
MKURUNGEZI JUMA BULLAH

Ezee Money Mashine

ADIVERTISE HERE

Chat
Try Relay: the free SMS and picture text app for iPhone.
Visitors
Counter
www.ajiranakazimbeya.com cont..+255718470499
Pages
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment